Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Tanzania Vs Guinea Leo 19 Novemba 2024
    Michezo

    Tanzania Vs Guinea Leo 19 Novemba 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24November 19, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Tanzania Vs Guinea Leo 19 Novemba 2024, Ikiwa michuano ya kufudhu kwenda AFCON 2025 inaendelea leo timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inaenda kucheza na timu ya Guinea ikiwa ndio mchezo wa mwisho ili kufudhu kwenda AFCON.

    Mchezo wa kwanza uliofnyika 10/09/2024 Tanzania ikiwa ugenini iliibuka na ushindi wa goli 2 kwa 1. Hivyo leo Tanzania anakutana na Guinea akiwa na historia ya kumfunga katika mchezo wa kwanza.

    Msimamo wa Kudi H

    1. Dr Congo – Pointi 12, Katika michezo 5 ameshinda 4 amepoteza 1
    2. Guinea – Pointi 9 katika michezo 5 ameshinda 3 amepoteza 2
    3. Tanzania – Pointi 7 katika michezo 5 ameshinda 2, amedroo 1 na amepoteza michezo 2.
    4. Rthiopia – Pointi 1 katika michezo 5 amedroo mchezo 1 na kupoteza michezo 4

    Huu ni mchezo wa 6 na wamwisho Tanzania anahitaji pointi 3 muhimu ili kuweza kufudhu kwa kushiriki kwenye michuano ya AFCON 2025.

    Uchambuzi wa Mchezo

    • Mchezo utakua mgumu sana na wakuvutia kwani kila timu inahitaji pointi 3 muhimu ili kujihakikishia ushindi wa kufudhu AFCON 2025.
    • Kama Tifa Stars itashinda mchezo huu itakua na pointi 10 na kupanda hadi nafasi ya 2 kwa kuizidi guinea kwa pointi moja
    • Kama Guinea itashinda mchezo huu itakua na jumla ya pointi 12 na kua katika nafasi ya 2 ikiizidi Tanzania kwa pointi 4

    Tanzania inahitaji kuutumia huu mchezo kama sehemu ya kuonyesha ubora wake na kutumia nafasi ya uwanja wa nyumbani kama chachu ya kushinda mchezo huu.

    Kikosi Cha Taifa Stars Vs Guinea Leo 19 Novemba 2024

    Hapa chini ni majina ya wachezaji wachezaji walioitwa kuunda kikosi cha Taifa Stars katika michuano hii ya kufudhu AFCON. Kutoka katika majina haya ndio kikosi cha Taifa Stars kitaundwa dhidi ya Guinea leo.

    1. Ally Salim – Simba SC
    2. Abdultwalib Mshery – Young Africans
    3. Yona Amos – Pamba SC
    4. Lusajo Mwaikenda – Azam FC
    5. Nathaniel Chilambo – Azam FC
    6. Mohamed Hussein – Simba SC
    7. Dickson Job – Young Africans
    8. Pascal Msindo – Azam FC
    9. Ibrahim Hamad – Young Africans
    10. Bakari Nondo – Young Africans
    11. Nickson Kibabage – Young Africans
    12. Abdulmalik Zakaria – Mashujaa FC
    13. Adolf Mtasigwa – Azam FC
    14. Himid Mao – Tala’a El Geish, Misri
    15. Novatus Dismas – Goztepe, Uturuki
    16. Mudathir Yahya – Young Africans
    17. Hussein Semfuko – Coastal Union
    18. Edwin Balua – Simba SC
    19. Feisal Salim – Azam FC
    20. Wazir Junior – Dodoma Jiji
    21. Cyprian Kachwele – Vancouver Whitecaps, Canada
    22. Clement Mzize – Young Africans
    23. Abel Josiah – TDS TFF Academy

    HICHI HAPA KIKOSI CHA WACHEZAJI WALIOITWA TAIFA STARS, SAMATTA ARUDISHA

    Munda wa Kuanza Kwa Mechi

    Mchezo huu utapigwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam kuanzia majira ya saa 16:00 jioni

    Matokeo ya Tanzania vs Guinea Kufudhu AFCON Leo 19 Novemba 1014

    mchezo unatarajiwa kuanza majira ya 16:00 za jioni, hivyo basi mara baada ya mchezo kuanza na kumalizika tutakuwekea hapa matokeo ya mchezo huo

    Tanzania 1 – 0 Guinea

    Rmbu tupe maoni yako kuelekea mchezo huu wa kukata na shoka. Unaiona wapi Tanzania kwenye mchezo huu?

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleVichwa vya Habari vya Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu 18 November 2024
    Next Article Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.