Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa
    Makala

    Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa

    Kisiwa24By Kisiwa24November 17, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa, kutoa pesa ATM ya CRDB kwa M-Pesa

    Habari ya wakati huu mwanahabarika24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupa mwongo wa namna ya unavyoweza kutoa pesa kwenye ATM za CRDB kwa kutumia M-Pesa yako.

    Kama unahitaji kutoa pesa kupitia ATM ya CRDB na kwa bahati mbaya umesahau cadi yako ya ATM basi usijali kama unamtandao wa simu wa Vodacom uliyosajiliwa na M-Pesa unaweza kuitumia akaunti yako ya M-Pesa kuweza kutoa pesa kwenye ATM ya CRDB kutoka kwenye akaunti yako ya Mpesa.

    Kutoa pesa kwenye ATM ya CRDB kwa kutumia M-Pesa ni njia rahisi na salama kuweza kupata fedha zako kutoka kwenye akaunti yako bila kuhitaji kadi ya benki. Kupitia huduma hii, unaweza kutoa pesa yako wakati wowote kutoka kwenye ATM za CRDB kwa kutumia simu yako ya mkononi. Katika mwongozo huu, tutaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kufanya muamala huu.

    Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa

    Hapa chini tunaenda kukuonyesha hatua zote za kufuata pale unapotaka kutoa pesa kupitia ATM za CRDB kupitia M-pesa yako

    Vitu Muhimu vya Kuzingatia Kabla ya Kuanza Mchakato

    Hapa chini ni mambo muhimu ya kuzingatia unapotaka kutoa pesa kutoka akaunti yako ya M-Pesa kupitia ATM ya CRDB

    • Kuwa na akaunti laini ya Vodacom iliyosajiliwa na M-Pesa
    • Akaunti yako ya M-pesa iwe na kiwango cha pesa unachihitaji kutoa
    • Kuwa karibu na ATM ya CRDB kwani mchakato huu hufanyika ndani ya dk 5
    • Kuwa na simu yako ya mkononi pamoja nawe na iwe na laini hiyo ya vodacom iliyosajiliwa na M-Pesa
    • Kuhakikisha una mtandao wa Vodacom

    Hatua za Kufuata ili kutoa pesa kutoka ATM ya CRDB kupitia M-pesa

    1. Anza Muamala kwenye Simu Yako

    Ukiwa kwenye simu yako ndani ya chumba cha ATM ya CRDB fuata hatua zifuatazo

    • Fungua simu yako
    • Ingia kwenye menyu ya M-Pesa kwa kupiga *150*00#
    • Chagua “Toa Pesa”
    • Ingiza namaba ya wakala ya CRDB amabyo ni 999999
    • Kisha ingiza kiasi unachitaka kutoa
    • Ingiza namba ya siri ya M-pesa
    • Kisha utapokea ujumbe wenye tarakimu 6 (tarakimu hizi hudumu ndani ya dakika 5 tu)

    2. Kwenye ATM ya CRDB

    Baada ya kufanya mwamala kutoka kwenye M-Pesa yako kupitia simu yako na kutumiwa msimbo wenye tarakimu 6 sasa fanya hatua zifuatazo kwenye ATM ya CRDB

    • Bonyeza kitufe cha M-PESA kinachoonekana kwenye skrini ya ATM ya CRDB
    • Kisha ingiza msimbo wa namba ulizotumiwa kwenye simu yako, hakikisha unaingiza tarakimu sahihi
    • Weka namba ya simu ya M-Pesa uliyoitumia kutoa pesa
    • Chagua kiasi unachotaka kutoa
    • Thibitisha kutoa fedha
    • Hadi hapo utakua umetoa pesa kutoka akaunti yako ya M-Pesa kupitia ATM ya CRDB

    Kwa maelezo zaidi unaweza tembelea tovuti rasmi ya CRBD Bank

    Hitimisho

    Njia hii inamsaidia mtu mwenye pesa katika akaunti yake ya M-pesa na nahitaji kutoa pesa hiyo lakini mahali alipo hakuna wakala wa M-Pesa anaweza kutumia ATM ya CRDB iliyop[o karibu yake kuweza kutoa pesa zake.

    Mapendekezo Ya Mhariri;

    1. Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

    2. Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania

    3. Jinsi Ya Kulipia King’amuzi Cha Azam Tv

    4. Jinsi Ya Kuangalia Salio La NSSF Kwa Njia ya Simu

    5. Jinsi Ya Kufanya Biashara Mtandaoni

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
    Next Article Sifa Za Kujiunga Na Chuo cha ardhi Tabora ARITA 2024/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.