Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
    Michezo

    Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024

    Kisiwa24By Kisiwa24November 16, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024, Habari mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi ambayo itaenda kukupa mwongozo wa mechi kati ya Ethiopia na Tanzania unaofanyika leo jumamosi 16-11-2024

    Leo Tanzania inakutana na Ethiopia ugenini ikiwa imecheza michezo minne katika michuano ya kufudhu AFCON ikiwa imeshinda mchezo 1, imedraw mchezo mmoja na kufungwa michezo 2, kwa sasa Tanzania ina jumla ya pointi 4 ikiwa katika nafasi ya 3.

    Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024

    Hapa tutaenda kuangalia kikosi cha Taifa Stars (Tanzani) dhidi ya Ethiopia, Msimamo wa Africa Cup of Nations qualification kwa gourp H. Tanzania inakuna na ethiopia ikiwa katika nafasi ya 3 huku ethiapia akiwa katika nafasi ya nne, Tanzania anahitaji pointi 3 katika mchezo huu ili kuweza kujisogeza katika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 7 kwani kwa sasa ana pointi 4.

    Kikosi Cha Taifa Stars (Tanzania) Vs Ethiopia

    Hapa chini ni majina ya wachezaji 23 amabo wameitwa kwenye Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwenye michuano ya kufudhu AFCON 2025

    1. Ally Salim – Simba SC
    2. Abdultwalib Mshery – Young Africans
    3. Yona Amos – Pamba SC
    4. Lusajo Mwaikenda – Azam FC
    5. Nathaniel Chilambo – Azam FC
    6. Mohamed Hussein – Simba SC
    7. Dickson Job – Young Africans
    8. Pascal Msindo – Azam FC
    9. Ibrahim Hamad – Young Africans
    10. Bakari Nondo – Young Africans
    11. Nickson Kibabage – Young Africans
    12. Abdulmalik Zakaria – Mashujaa FC
    13. Adolf Mtasigwa – Azam FC
    14. Himid Mao – Tala’a El Geish, Misri
    15. Novatus Dismas – Goztepe, Uturuki
    16. Mudathir Yahya – Young Africans
    17. Hussein Semfuko – Coastal Union
    18. Edwin Balua – Simba SC
    19. Feisal Salim – Azam FC
    20. Wazir Junior – Dodoma Jiji
    21. Cyprian Kachwele – Vancouver Whitecaps, Canada
    22. Clement Mzize – Young Africans
    23. Abel Josiah – TDS TFF Academy

    Kikosi cha Taifa Stars Kufuzu AFCON 2025

    Hapo juu ni majina ya wachezaji wanaounda kikosi cha Taifa la Tanzania (Staifa Stars) na kutoka katika majina hayo miongoni mwao ndio watakao unda kikosi cha leo cha Taifa Stars dhidi ya Ethiopia.

    Munda wa Kuanza Kwa Mechi

    Mchezo huu unatarajiwa kuanza majira ya saa 19:00 jioni

    Timu Zinazo Unda Group H

    Kundi H amabalo Tanznia imo linaundwa na timu 4 ambazo ni

    1. Dr Congo
    2. Guinea
    3. Tanzania
    4. Ethiopia

    Msimao wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025

    Kundi H lenye timu 4, ilnaongoza na Dr Congo, hapa chini ni msimamo wa kundi H kwenye kufudhu AFCON 2025

    1. Dr Congo – anajumla ya pointi 12
    2. Guinea – anajumla ya pointi 6
    3. Tanzania – anajimla ya pointi 4
    4. Ethiopia – anajumla ya pointi 1

    Matokeo ya Tanzania vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16/11/1014

    mchezo unatarajiwa kuanza majira ya 19:00 za jioni, hivyo basi mara baada ya mchezo kuanza na kumalizika tutakuwekea hapa matokeo ya mchezo huo

    Ethiopia 0 – 0 Tanzania

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleJinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni
    Next Article Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.