Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Ratiba ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024/2025
    Michezo

    Ratiba ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24November 5, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ratiba ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024/2025, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza tarehe rasmi za michezo ya miashindano ya Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2024-25, ambapo michezo hiyo imepangwa kuanza kutimua vumbi Agosti 8 hadi Agosti 11, 2024. Hii inaashiria kuanza kwa msimu mpya wa soka nchini, ukiwa unatarajiwa kua msimu wenye ushindani mkubwa na ubora wa mpira wa hali ya juu zaidi.

    Ratiba ya Ngao ya Jamii 2024

    Msimu mpya wa soka Tanzania unaanza kwa kishindo! Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza ratiba kamili ya michezo na viwanja vitakavyotumika katika michuano ya ngao ya jamii ya mwaka huu. Msimu wa 2024/2025 wa michuano ya Ngao ya jamii umepangwa kuanza Agosti 8 ambapo timu nne zitachuana vikali kumtafuta bingwa wa ngao wa jamii hadi Agosti 11, 2024.

    Hii apa Ratiba Nusu Fainali Ngao ya Jamii 2024/2025

    Tarehe Mechi Uwanja
    8 Agosti 2024 Azam FC vs. Coastal Union Uwanja wa Amaan, Zanzibar
    8 Agosti 2024 Young Africans vs. Simba SC Uwanja wa Benjamin Mkapa, DSM

    Agosti 8 itakuwa siku ya kusisimua kwa mashabiki wa soka nchini Tanzania. Wanaramba ramba Azam FC watavaana na Wagosi wa Kaya, Mangushi Coastal Union katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Wakati huo huo, Timu ya wananchi Young Africans watapambana na mahasimu wao wa jadi Simba SC katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Ni vita ya wakubwa!

    Ratiba Fainali Ngao ya Jamii 2024/2025 & Mshindi wa Tatu

    Tarehe Mechi Uwanja
    11 Agosti 2024 Mshindi wa Tatu Uwanja wa Benjamin Mkapa, DSM
    11 Agosti 2024 Fainali Uwanja wa Benjamin Mkapa, DSM

    Baada ya michezo ya nusu fainali, timu zitakazopata ushindi zitatinga fainali. Mshindi wa tatu ataamuliwa tarehe 11 Agosti katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Na siku hiyo hiyo, fainali kuu itafanyika ambapo bingwa mpya wa Ngao ya Jamii atatawazwa.

    Ratiba ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024/2025
    Ratiba ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024/2025

    Timu Zitakazo Shiriki Ngao ya Jamii 2024/2025

    • Yanga Sc,
    • Simba Sc,
    • Azam Fc
    • Coastal Union Fc.

    Msimu uliopita, michezo ya Ngao ya Jamii ilifanyika katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, na kuna matarajio kuwa viwanja vingine vya kisasa vitaweza kutumika kwa msimu huu. TFF inatarajiwa kutoa taarifa zaidi kuhusu ratiba na viwanja kabla ya kuanza kwa michuano.

    Hitimisho

    Michezo ya Ngao ya Jamii ni kipimo muhimu kwa timu kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu. Timu zitakuwa zikitumia michuano hii kujaribu vikosi vyao na kupanga mbinu zitakazotumika katika msimu mzima. Mashabiki nao wanatarajia burudani ya hali ya juu kutoka kwa timu hizi kubwa nne.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Kikosi cha Simba SC Msimu wa 2024/2025

    2. Ligi Bora Africa 2024

    3. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 

    4. Mchezaji mwenye Magoli mengi Tanzania

    Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa unamaswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

    Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

    BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleJinsi Ya Kufanya Biashara Mtandaoni (Online business)
    Next Article Muundo wa Barua ya Maombi ya Kazi Mtendaji wa Kijiji na Mtaa
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.