Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag
    Michezo

    Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag

    Kisiwa24By Kisiwa24October 28, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag, Jumatatu ya tarehe 28 mashabiki na wapenzi wa soka duniani kote walishuhudia klabu kubwa duniani Man Utd ikimfukuza kocha wake mkuu Eric Ten Hag kufuatia matokeo mabovu ya mfururizo kwa takribani mechi 8.

    Matokeo yaliochangia kufukuzwa kwake ni mechi yake na West Ham Utd uyliofanyika siku ya jumapili ya tarehe 27 mwezi 10 kufuatia kichapo cha goli 2 kwa 1.

    Kocha Mpya Wa Manchester United

    Kocha Mpya Wa Manchester United
    Kocha Mpya Wa Manchester United

    Mrith wa Ten Hag kwa Muda Mfupi

    Baada ya kufukuzwa kwake uongozi wa klabu ulimteua aliyekua kocha msaidizi wa Ten Hag Ruud van Nistelrooy kukiongoza kikosi hicho cha mashetani wekundu kwa muda.

    Ten Hag anaondoka klabuni hapo akiacha Man utd katika nafasi ya 14 kwenye msimamo wa ligi kuu ya uingeleza huku ikiwa na pointi 11 na kucheza michezo 9 huku ikiwa na GD ya -3

    Nani Kurithi mikoba ya Ten Hag Man Utd?

    Kumekua na fufunu za makocha wengi kusakwa na matajiri wa united wakihitaji saini zao ili kukinoa kikosi hicho cha mashetani wekundu.

    Miongoni mwa makocha wanaosakwa na wamiliki wa klabu ya Manchester United ni pamoja na hawa walioko kwenye picha hapa chini.

    Kocha Mpya Wa Manchester United

    Hao ndio makocha watano wanao waniwa ili kuweza kuchukua nafasi ya Eric Ten Hag ndani ya kikosi cha Man Utd

    Embu Tupitie Wasifu wao Kwa Ufupi

    Mmoja kati ya hawa hapa ndio anaetajwa kuchukua mikoba ya Eric Ten Hag katika klabu ya Man Utd ingwa kwa sasa R . Van Nistelrooy ndiye anaye hudumu kama kocha wa mpito apo awali alikua kocha msaidizi wa Ten Hag.

    1. R. van Nistelrooy

    Umri – Miaka 48

    Kama kocha ameweza kushiriki michezo 148, ameshinda michezo 76, amedroo michezo 33 na kupoteza michezo 39.

    2. Xavi

    Umri – Miaka 44

    Kama kocha ameweza kushiriki michezo 239, ameshinda michezo 157, amedroo michezo 36 na kupoteza michezo 46.

    3. R. Amorim

    Umri – Miaka 39

    Kama kocha ameweza kushiriki michezo 244, ameshinda michezo 174, amedroo michezo 34 na kupoteza michezo 36.

    4. G. Southgate

    Umri – Miaka 54

    Kama kocha ameweza kushiriki michezo 287, ameshinda michezo 138, amedroo michezo 64 na kupoteza michezo 85.

    5. T. Frank

    Umri – Miaka 51

    Kama kocha ameweza kushiriki michezo 424, ameshinda michezo 191, amedroo michezo 97 na kupoteza michezo 136.

    Hitimisho

    Embu tuambie wewe kama shabiki wa Manchester Utd na shabiki wa soka la uingereza unadhani kutoka kwenye orodha hiyo hapo juu ni nani ataechukua mikoba ya Ten Hag pale Old Trafford ili kukinoa kikosi cha mashetani wekundu? Acha komenti yako hapo chini kupitia kisanduku cha maoni.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRodri Mshindi Wa Ballon d’Or Msimu wa 2024
    Next Article Jinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.