Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024
    Ajira

    Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24August 22, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024

    Tangazo

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala kupitia kibali cha ajira mpya chenye kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024, chenye nafasi ya Mtendaji wa Kijiji Daraja La III (8) na Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II (5) kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hivyo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Newala anatangaza nafasi za kazi na
    anakaribisha maombi kwa watanzania wenye sifa za kujaza nafasi hizo kama ifuatavyo: –

    Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024
    Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024

    MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III NAFASI 8

     MAJUKUMU YA KAZI

    i. Afisa Masuuli na Mtendaji mkuu wa Serikali ya Kijiji.

    ii. Kuratibu na kusimamia Upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo
    ya kijiji

    iii. Katibu wa Mikutano na Kamati zote za Halmashauri ya Kijiji.

    iv. Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na taratibu

    v. Kuandaa taarifa za Utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha Wananchi katika kuandaa na kutekeleza Mikakati ya kuondoa njaa, Umaskini na kuongeza Uzalishaji mali.

    vi. Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya kitaaluma katika kijiji

    vii. Kusimamia ulinzi na Usalama wa raia na mali zao, kuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika kijiji.

    viii. Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na Nyaraka za Kijiji.

    ix. Mwenyekiti wa kikao cha Wataalam waliopo katika kijiji.

    x. Kupokea, kusikiliza na kutatua Malalamiko na Migogoro ya Wananchi.

    xi. Kusimamia utungaji wa Sheria ndogo za Kijiji na atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

    xii. Kusimamia ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi.

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Kuajiriwa mwenye elimu ya Kidato cha nne au sita, aliyehitimu Mafunzo ya Astashahada/ Cheti (NTA LEVEL 5) Katika mojawapo wa Fani zifuatazo, Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa Kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali- TGS B1

    BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI ZOTE

    MACHAGUZI YA MHARIRI;

    1. Jinsi ya Kupata Namba ya NIDA Kwa Njia ya SMS

    2. Jinsi Ya Kuangalia Deni La Gari 2024 (TMS Traffic Check)

    3. Namna ya Kupata Cheti cha Kuzaliwa Kwa Mtu Mzima

    4. Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mtendaji wa Kijiji na Mtaa

    5. Ada za Airtel Money 2023/2024 Kwenye Kutoa na kuweka Pesa

    6. Ratiba ya treni za SGR Dar es Salaam na Morogoro

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi Mpya 27 Za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa Agosti 2024
    Next Article Matokeo Ya Mashujaa Vs Tanzania Presons Ligi Ya Nbc Premier League Ijumaa 23/08/2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.