Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Nafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Wilaya Ya Tunduru Agosti 2024
    Ajira

    Nafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Wilaya Ya Tunduru Agosti 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24August 18, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Wilaya Ya Tunduru Agosti 2024

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kupitia kibali cha ajira mpya chenye kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 chenye Kada za Msaidizi wa kumbukumbu Daraja la II nafasi nne (4), Mtendaji wa kijiji Daraja la III nafasi kumi na moja (11) na Dereva Daraja la II nafasi tatu (3), kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hivyo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tunduru anawatangaza nafasi za kazi na anakaribisha maombi kwa watanzania wote wenye sifa na kuleta maombi ya kazi kwa nafasi zilizoainishwa hapo chini.-

    MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II – NAFASI 4

    MAJUKUMU YA KAZI

    i. Kuorodhesha barua zinazoingia masjala kwenye rejista
    ii. Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi kwenye rejista
    iii. Kusambaza majalada kwa watendaji Kupokea
    iv. Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa watendaji.
    v. Kutafuta kumbukumbu/nyaraka/majalada yanayohitajika na watendaji.
    vi. Kurudisha majalada kwenye Shubaka/kabati la majalada au mahali pengine
    yanapohifadhiwa
    vii. Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi

    SIFA ZA MWOMBAJI:
    Awe na Elimu ya kidato cha Nne (IV) au cha Sita (VI) aliehitimu mafunzo ya
    stashahada/Diploma (NTA Level 6) katika fani ya Utunzaji wa kumbukumbu kutoka vyuo
    vinavyotambuliwa na Serikali, wenye ujuzi wa kutumia kompyuta.

    NGAZI YA MSHAHARA
    Kwa kuzingatia ngazi ya Mshahara wa Serikali – TGS C1 kwa mwezi.

    Download PDF HAPA

    Mapendekezo ya mhariri:

    1. Jinsi Ya Kuangalia Salio La NSSF Kwa Njia ya Simu

    2. Jinsi Ya Kulipia King’amuzi Cha Azam Tv 

    3. Jinsi ya Kujiunga na Mfumo wa Maombi ya Ajira TAMISEMI

    4. Jinsi ya Kupata Namba ya NIDA Kwa Njia ya SMS

    5. Jinsi Ya Kuangalia Deni La Gari 2024 (TMS Traffic Check)

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Mji Kasulu Agosti 2024
    Next Article Tangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma Agosti 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.