Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Ratiba Ya Mechi Za Simba SC Ligi Kuu Ya NBC Premier 2025/2026

    March 8, 2026

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2025/2026

    March 8, 2026

    Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

    March 8, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika
    Michezo

    Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

    Kisiwa24By Kisiwa24August 13, 2024No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

     

    Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti amesema wamekuja nchini kuitoa Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.

    Vital’O imepangwa kucheza na Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na mchezo huo utafanyika Jumamosi katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

    Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

    Arsene alisema wanaiheshimu Yanga SC, lakini hiyo haiwafanyi waihofie na wamekuja Tanzania kwa ajili ya kazi hiyo ya kuwatoa kwa kuwa wameifuatilia vyema.

    “ Tumekuja hapa kwa kazi moja tu. Kuwatoa Yanga SC. Tuna kila kitu ambacho wao wameshinda. Hatutishiko nao.

    “ Tumewafuatilia katika michezo yote ambayo wamecheza kule Afrika Kusini hadi hapa Tanzania, hivyo tunaenda kucheza na timu tunayoifahamu vyema “ alisema Arsene.

    Arsene aliongeza kuwa Yanga SC ina mashabiki wengi Burundi kutokana na wachezaji Ammis Tambwe, Saidoo Ntibazonkiza na Didier Kavumbagu kuwahi kuitumikia timu hiyo.

    Michezo hiyo miwili ya nyumbani na ugenini ya Yanga SC dhidi ya timu hiyo itachezwa nchini Tanzania kutokana na Burundi kukosa uwanja wenye sifa ya kutumika katika mechi za CAF.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHabari kubwa Katika Magazeti ya leo Jumatano Agosti 14 2024
    Next Article Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Agosti 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Ratiba Ya Mechi Za Simba SC Ligi Kuu Ya NBC Premier 2025/2026

    March 8, 2026
    Michezo

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2025/2026

    March 8, 2026
    Michezo

    Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

    March 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20262,350 Views

    Makabila ya Tanzania na Ngoma Zao za Asili

    June 9, 2025586 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025551 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20262,350 Views

    Makabila ya Tanzania na Ngoma Zao za Asili

    June 9, 2025586 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025551 Views
    Our Picks

    Ratiba Ya Mechi Za Simba SC Ligi Kuu Ya NBC Premier 2025/2026

    March 8, 2026

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2025/2026

    March 8, 2026

    Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

    March 8, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.