Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika
    Michezo

    Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

    Kisiwa24By Kisiwa24August 13, 2024No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

     

    Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti amesema wamekuja nchini kuitoa Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.

    Vital’O imepangwa kucheza na Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na mchezo huo utafanyika Jumamosi katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

    Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

    Arsene alisema wanaiheshimu Yanga SC, lakini hiyo haiwafanyi waihofie na wamekuja Tanzania kwa ajili ya kazi hiyo ya kuwatoa kwa kuwa wameifuatilia vyema.

    “ Tumekuja hapa kwa kazi moja tu. Kuwatoa Yanga SC. Tuna kila kitu ambacho wao wameshinda. Hatutishiko nao.

    “ Tumewafuatilia katika michezo yote ambayo wamecheza kule Afrika Kusini hadi hapa Tanzania, hivyo tunaenda kucheza na timu tunayoifahamu vyema “ alisema Arsene.

    Arsene aliongeza kuwa Yanga SC ina mashabiki wengi Burundi kutokana na wachezaji Ammis Tambwe, Saidoo Ntibazonkiza na Didier Kavumbagu kuwahi kuitumikia timu hiyo.

    Michezo hiyo miwili ya nyumbani na ugenini ya Yanga SC dhidi ya timu hiyo itachezwa nchini Tanzania kutokana na Burundi kukosa uwanja wenye sifa ya kutumika katika mechi za CAF.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHabari kubwa Katika Magazeti ya leo Jumatano Agosti 14 2024
    Next Article Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Agosti 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.