Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Ratiba Ya Mechi Za Namungo Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025
    Michezo

    Ratiba Ya Mechi Za Namungo Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24August 13, 2024No Comments6 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ratiba Ya Mechi Za Namungo Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

    Habari ya wakati huu mpenzi mfuatiliaji wa blog yako pendwa ya Habarika24, leo katika ukrasa huu utaenda kutazama/kusoma ratiba kamili/yote ya mechi za timu ya Namungo katika ligi kuu ya Nbc Premier msimu wa 2024/2025. Kama tunavyojua ligi kuu ya Nbc Premier msimu mpya wa 2024/2025 unaenda kuanza kutimua vumbi kunako 16/08/2024 kwa mchezo wa ufunguzi utakao cheza mkoani mwanza kati ya timu iliyopanda daraja ya mkoa huo Pamba Fc dhidi ya Tanzania Prosons katika uwanja wa CCM kirumba.

    Hivyo kuelekea kufunguliwa kwa ligi kuu ya Nbc premier tumeona nivyema tukakusogezea wewe mpnzi wetu na mpenzi wa mpila wa miguu latiba kamili ya michuona hii ya ligi kuu ya Nbc msimu huu wa 2024/2025 kwa washiriki Namungo Fc.

    Ratiba Ya Mechi Za Namungo Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

    Namungo Fc ni moja miongoni mwa vilabu 16 vinavyoshirki katika ligi kuu ya Nbc Premier msimu huu mpya wa 2024/2025, ikiwa na maskani yake  katika mmkoa wa Lindi na inatumia uwanja wa Majaliwa Satadium kama uwanja wake wa nyumbani katika michuano hii ya ligi kuu ya Nbc premier msimu wa 2024/2025.

    Nembo ya Timu Ya Namungo FC
    Nembo ya Timu Ya Namungo FC

    Hapa chini tunakuletea ratiba kamili ya michezo yote ya klabu ya Namungo Fc kuanzia mzunguko wa kwanza hadi mzunguko wa mwisho wa 30 ( Round 1 hadi Round 30)

    Mzunguko Wa 1

    Siku: 8/17/2024

    Timu: Namungo FC VS Fountain Gate

    Muda:  19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 2

    Siku: August 25, 2024

    Timu: Namungo FC VS Tabora United

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 3

    Siku: September 12, 2024

    Timu: Dodoma Jiji VS Namungo FC

    Muda: 19:00

    Uwanja: Jamhuri Stadium Dodoma

     

    Mzunguko Wa 4

    Siku: TBA – Siku ya kuchezwa mechi hii bado haijatangazwa

    Timu: Coastal Union VS Namungo FC

    Muda: TBA – Muda sahihi wa kuanza mchezo huu bado haujatangazwa

    Uwanja: KMC Complex Dar es Salaam

     

    Mzunguko Wa 5

    Siku: TBA – Siku ya kuchezwa mechi hii bado haijatangazwa

    Timu: Simba SC VS Namungo FC

    Muda: TBA – Muda sahihi wa kuanza mchezo huu bado haujatangazwa

    Uwanja: KMC Complex Dar es Salaam

     

    Mzunguko Wa 6

    Siku: September 28, 2024

    Timu: Namungo FC VS Tanzania Prisons

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 7

    Siku: October 3, 2024

    Timu: Namungo FC VS Azam FC

    Muda: 21:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 8

    Siku: October 20, 2024

    Timu: Singida BS VS Namungo FC

    Muda: 16:00

    Uwanja: CCM Liti Singida

     

    Mzunguko Wa 9

    Siku: October 25, 2024

    Timu: Namungo FC VS Pamba Jiji

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 10

    Siku: November 1, 2024

    Timu: KMC FC VS Namungo FC

    Muda: 16:00

    Uwanja: KMC Complex Dar es Salaam

     

    Mzunguko Wa 11

    Siku: November 8, 2024

    Timu; Namungo FC VS JKT Tanzania

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 12

    Siku; November 23, 2024

    Timu: Mashujaa FC VS Namungo FC

    Muda; 16:15

    Uwanja; Lake Tanganyika Kigoma

     

    Mzunguko Wa 13

    Siku: December 1, 2024

    Timu: Namungo FC VS Young Africans

    Muda; 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 14

    Siku: December 11, 2024

    Timu: Kagera Sugar VS Namungo FC

    Muda; 19:00

    Uwanja; Kaitaba Stadium Kagera

     

    Mzunguko Wa 15

    Siku: December 16, 2024

    Timu: KenGold FC VS Namungo FC

    Muda: 14:00

    Uwanja; Sokoine Stadium Mbeya

     

    Mzunguko Wa 16

    Siku: December 21, 2024

    Timu: Fountain Gate VS Namungo FC

    Muda:  16:00

    Uwanja: Tanzanite Kwaraa Manyara

     

    Mzunguko Wa 17

    Siku: December 28, 2024

    Timu: Tabora United VS Namungo FC

    Muda: 14:00

    Uwanja: Ali Hassan Mwinyi Tabora

     

    Mzunguko Wa 18

    Siku: January 21, 2025

    Timu: Namungo FC VS Dodoma Jiji

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 19

    Siku: January 26, 2025

    Timu: Tanzania Prisons VS Namungo FC

    Muda: 14:00

    Uwanja: Sokoine Stadium Mbeya

     

    Mzunguko Wa 20

    Siku: February 2, 2025

    Timu; Namungo FC VS Simba SC

    Muda: 18:30

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 21

    Siku: February 16, 2025

    Timu: Namungo FC VS Coastal Union

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 22

    Siku: February 22, 2025

    Timu: Azam FC VS Namungo FC

    Muda: 19:00

    Uwanja: Azam Complex Dar es Salaam

     

    Mzunguko Wa 23

    Siku: February 28, 2025

    Timu: Namungo FC VS Singida BS

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 24

    Siku: March 9, 2025

    Timu: Pamba Jiji VS Namungo FC

    Muda: 14:00

    Uwanja: CCM Kirumba Mwanza

     

    Mzunguko Wa 25

    Siku: March 28, 2025

    Tiumu: Namungo FC VS KMC FC

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 26

    Siku: April 11, 2025

    Timu: JKT Tanzania VS Namungo FC

    Muda: 16:15

    Uwanja: Mej. Jen. Isamuhyo Dar es Salaam

     

    Mzunguko Wa 27

    Siku: April 19, 2025

    Timu: Namungo FC VS Mashujaa FC

    Muda: 19:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 28

    Siku: May 4, 2025

    Timu: Young Africans VS Namungo FC

    Muda: 19:00

    Uwanja: Azam Complex Dar es Salaam

     

    Mzunguko Wa 29

    Siku: May 17, 2025

    Timu: Namungo FC VS Kagera Sugar

    Muda: 16:00

    Uwanja: Majaliwa Stadium Lindi

     

    Mzunguko Wa 30

    Siku: May 24, 2025

    Timu: Namungo FC VS KenGold FC

    Muda:16:00

    Uwnaj: Majaliwa Stadium Lindi

    NB; Ikumbukwe kua ligi kuu ya Nbc Premier musimu wa 2024/2025 itaanza kutimua vumbi mnamo 16/08/2024 wakati ikijumuisha jumala ya mizunguko 30 na kila mzunguko utakua na michezo 8 itakayo zikutanisha timu 16 kutoka mikoa mbali mbali ya Tanzania bara. Huku mashabiki wa vilabu hivyo wakisubili kwa hamu kuona mechi zaidi ya 240. Ligi kuu ya Nbc Premier msimu wa 2024/2025 inatazamiwa kutamatika mnamo mwezi May 24, 2025 ikizikutanaisha timu zote 16 kwa michezo 8 katika viwanja tofauti tofauti siku ya jumapili majira ya 16:00 za jioni.

    CRDB FEDERATION CUP FINAL (MAY 31, 2025)
    FIFA INTERNATIONAL WINDOW (2 – 10 JUNE 2025)
    PLAYOFF 2024/25 (PL vs PL) – LEG 1 & 2 (MAY 28 &  JUNE 1, 2025)
    PLAYOFF 2024/25 (PL vs CL) – LEG 1 & 2 (7 – 11 JUNE, 2025)
    TFF AWARDS 2025

    Mapendekezo ya Mhariri

    1. Ratiba Ya Mechi Za Namungo Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

    2. Ratiba Ya Mechi Za Mashujaa FC Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

    3. Ratiba Ya Mechi Za Pamba Jiji Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025 

    4. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

    5. Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRatiba Ya Mechi Za Mashujaa FC Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025
    Next Article Nafasi Mpya 96 za Kazi Kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA)
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.